News
Rais Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge la 12 akihitimisha shughuli zake kwa kuzungumzia mambo mbalimbali yaliyotekelezwa ...
Ni hotuba iliyosheheni utekelezaji wa sekta mbalimbali. Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya ...
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kumejibu wa hoja wa wadau wa siasa waliokuwa wakiitaka kwa muda mrefu.
Sifa mojawapo kwa Mtanzania anayetaka kugombea katika kiti cha ubunge wa jimbo au viti Maalum, ama udiwani ni kujua kusoma na ...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kufuatia maboresho yaliyofanywa na Serikali kiasi cha mirahaba iliyogawiwa kwa wasanii ...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka ukuaji wa asilimia 3.9 mwaka 2021 hadi 5.5 mwaka 2024, huku mwaka huu ukuaji ukitarajiwa kufikia asilimia sita.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema idadi ya watalii wa kimataifa wanaofika nchini imeongezeka kwa asilimia 132.1.
Teknolojia mpya ya kukausha tumbaku kwa njia ya jua imeanza kuleta mapinduzi makubwa kwa wakulima wa tumbaku mkoani Iringa, ...
Vigogo wa Chama cha Dmokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Dodoma Mjini leo wameshindwa kusomewa hoja za awali kuhusu ...
Hifadhi ya Taifa ya Saadani, iliyoko mkoa wa Pwani, si tu kivutio cha wanyamapori na mandhari ya kuvutia, bali pia ni hazina ...
Wakati Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yakitarajiwa kuanza kesho, Jeshi la Polisi ...
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja amehojiwa na Taasisi ya Kuzuia na ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results