News

Amesema maendeleo hayo yanatarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa msongamano katika vituo vya mafuta, sambamba na kuharakisha matumizi ya gesi hiyo nchini kote.
Mfumo huu, unaotumia akili bandia (AI), unalenga kuboresha huduma za afya vijijini na maeneo yenye ufinyu wa rasilimali.
Hatua hiyo ya pili inakwenda kutoa nafasi kwa kamati za siasa kuchuja wagombea na kutoa mapendekezo kwa kamati za juu hadi ...
Baada ya jopo la majaji kutoa uamuzi usiokamilika na kuifanya mahakama iwarudishe tena kujadili kuhusu kesi ya rapa Sean Diddy Combs, hatimaye uamuzi wa kesi hiyo umekamilika ...
Dar es Salaam. Nyota wa muziki nchini Diamond ameeleza namna anavyotumia muziki wake kupenya kimataifa huku akifunguka ...
Waliofariki katika ajali hiyo ni watu 42, ambapo kwenye gari dogo aina Coaster walifariki watu 31 waliokuwa wanakwenda ...
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa hatogombea tena ubunge wa Ruangwa, Mkoa wa Lindi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika ...
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki ...
Mpaka sasa vifo vilivyokana na ajali ya barabarani vimefikia 42 huku majeruhi wawili waliosalia katika hospitali ya Rufaa ya ...
Wakati usaili wa wagombea 25 waliojitokeza kuwania nafasi za kuliongoza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukifanyika jana uchaguzi huo umepingwa ofisi za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ...
Simba imemaliza msimu wa nne mfululizo bila ubingwa wa Ligi Kuu Bara wala Kombe la Shirikisho (FA), jambo lililowakata stimu ...
Kocha huyo anajiunga na Ismaily na makocha wawili wasaidizi Hammadi Saghier ambaye ni kocha msaidizi raia wa Ubelgiji na Marouane Silimani, kocha wa viungo kutoka Tunisia.